Skip to main content
Skip to main content

Maafisa wa usalama watakiwa kufanya msako wa pombe haramu Murang’a

  • | Citizen TV
    196 views
    Duration: 1:51
    Wito umetolewa kwa maafisa wa usalama kuimarisha oparesheni za msako dhidi ya pombe haramu na biashara ya dawa za kulevya zinazofanywa karibu na taasisi za elimu. Wito huo unatolewa na viongozi na washikadau katika sekta ya elimu, huku ikibainika kuwa vitendo hivyo vinaendelea kuwa tishio kubwa kwa ustawi wa wanafunzi, hasa katika eneo la Kenol, kaunti ya Murang’a.