Skip to main content
Skip to main content

Madai ya uwepo wa wanajeshi wa Jubaland Mandera yaibua tumbo joto

  • | KBC Video
    480 views
    Duration: 3:35
    Utata umeendelea kuzingira madai kwamba vikosi vya kiusalama vya Jubaland viko kwenye kaunti ya Mandera huku seneta wa eneo hilo Ali Roba, akionya kwamba uhuru wa Kenya umo hatarini. Siku moja baada ya waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen kuahidi kuchunguza madai hayo Seneta Ali Roba ameonya kuhusu kutanda kwa taharuki akitoa wito wa hatua za haraka kuwaondoa wageni hao ambao anasema wanatishia maisha na riziki. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive