Skip to main content
Skip to main content

Mbunge wa Nakuru Magharibi atoa ufadhili wa Elimu wa NG-CDF

  • | Citizen TV
    233 views
    Duration: 6:04
    Wanafunzi zaidi ya 1, 200, hii Leo wanatarajiwa kupata ufadhili wa masomo katika eneobunge la nakuru magharibi. wanafunzi hao watalipiwa karo ya shilingi 22,500 za NGCDG kila mmoja. Evans Asiba amehudhuria hafla hiyo na sasa tunaungana naye mubashara kwa mengi zaidi