Skip to main content
Skip to main content

Msafiri mkenya anaswa Thailand

  • | Citizen TV
    27,232 views
    Duration: 2:50
    Familia moja kutoka eneo la Barnabas ,Nakuru inaiomba serikali kuisaidia kumrejesha mwana wao wa miaka ishirini aliyekamatwa nchini Thailand. Anthony Mwangi alielekea Thailand mwezi oktoba mwaka uliopita ila akakamatwa alipofika nchini humo.