Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa wa mauaji Shakahola 2023 abadilisha kuwa shahidi wa serikali

  • | Citizen TV
    3,799 views
    Duration: 2:38
    Mmoja wa washukiwa kwenye mauwaji ya itikadi ya kidini eneo la Shakahola yaliyotokea mwaka wa 2023 kaunti ya Kilifi sasa amebadilisha nia na kuwa shahidi wa serikali. Jaji wa mahakama ya Mombasa Diana Mochache akiagiza upande wa mashtaka kuhakikisha kuwa shahidi huyo ameandikisha upya taarifa yake ya kukiri yaliojiri msituni