Skip to main content
Skip to main content

Murkomen: Serikali imeafikiana na Uganda kudumisha usalama

  • | KBC Video
    74 views
    Duration: 1:41
    Wakazi wa kaunti ya Busia wameeleza changamoto kadhaa za kiusalama zinazowakabili katika mji huo wa mpakani wakati wa mkutano wa Jukwaa La Usalama . Wakazi hao walilamika kuhsu wizi mpakani, ulanguzi wa mihadarati na pombe haramu kutoka nchi jirani, pamoja na kunyanyaswa kwa wavuvi wa humu nchini na maafisa wa usalama wa Uganda. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive