MAONESHO YA KIMATAIFA
Rais William Ruto amesifia jukumu muhimu ambalo kilimo kinatekeleza katika uchumi wa taifa hili. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho ya kimataifa ya biashara mjini Mombasa, rais alitaja ajira, uzalishaji, uongezaji thamani na utayarishaji bidhaa za kilimo kama nyanja ambazo zimenufaika na kilimo na kuchochea ukuaji wa uchumi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive