Skip to main content
Skip to main content

Serikali inatakiwa kutenga pesa ili kusaidia uimarishaji wa miradi ya vyuo

  • | NTV Video
    131 views
    Duration: 1:42
    Serikali za Kitaifa na za Kaunti zimetakiwa kutenga fedha zaidi za ubunifu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali ili kuwasaidia kuimarisha miradi yao tofauti wanapoendelea na masomo kama njia moja ya kuwezesha kupata mapato na kujiajiri mapema. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya