Skip to main content
Skip to main content

Shule za Nakuru na Kisii zaandikisha idadi ndogo ya wanafunzi wa gredi ya 10

  • | Citizen TV
    785 views
    Duration: 3:38
    Siku ya nne baada ya wanafunzi wa gredi ya kumi kuanza kuripoti sekondari ya juu, baadhi ya shule zimeendelea kuandikisha idadi ya chini ya wanafunzi. Baadhi ya shule katika kaunti ya Nakuru na Kisii zikiandikisha idadi ya chini ya wanafunzi kumi, licha ya nyingine kuhitajika kuwa na wanafunzi zaidi ya 90