Skip to main content
Skip to main content

Tume ya huduma za mahakama JSC yapiga msasa wanaonuia kuwa majaji wa Mahakama Kuu na ile ya rufaa

  • | Citizen TV
    1,719 views
    Duration: 55s
    Tume ya huduma za mahakama imeanza mahojiano ya kujaza nafasi za majaji wa mahakama ya rufaa na mahakama kuu. Hatua hii ikiwa sehemu ya kuimarisha utendakazi wa idara ya mahakama kwa kuongeza nguvu kazi na uwezo wa kushughulikia mirundiko ya kesi mahakamani. Miongoni mwa wanaohojiwa ji mwenyekiti wa halmashauri ya utendakazi wa polisi na mwenyekiti wa zamani wa IEBC Isaac Hassan na wasomi wa vyuo kikuu Prof. Migai Akech, Dr Lucy Wanja Julius na daktari Joseph Arimba Kaberia.