Skip to main content
Skip to main content

Vijana wapewa ufadhili wa ksh.25,000 za mtaji Samburu

  • | Citizen TV
    206 views
    Duration: 1:43
    Rais William Ruto ameongoza mpango wa kutoa pesa za mtaji wa biashara kwa vijana katika mradi wa nyota kaunti ya Samburu. Mpango huu unalenga kuwapa vijana shilingi elfu 50 za kuanzisha biashara ndogondogo ili kuwawezesha kiuchumi.