Skip to main content
Skip to main content

Wafanyabiashara Kiserian walalamikia ubomoaji wa vibanda vyao

  • | Citizen TV
    330 views
    Duration: 1:32
    Serikali ya kaunti ya Kajiado imetoa ilani ya siku Saba kwa wafanyabiashara katika miji ya GP, kiserian na kibiku kajiado magharibi, ya kuondoa vibanda vilivyo nje ya maduka yao kwani viko katika maeneo ya barabara