Skip to main content
Skip to main content

Wakfu wa ufadhili wa Elimu wasaidia wanafunzi 106 Narok

  • | Citizen TV
    74 views
    Duration: 1:43
    Huku usajili wa wanafunzi katika gredi ya 10 muhula wa kwanza unapoendelea, ni afueni kwa Michael Tinkoi mwanafunzi wenye ulemavu na Janet Trissiah waliopata alama za 54 na 47 mtawalia.