Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa mpunga walalamikia hasara ya ndege

  • | Citizen TV
    283 views
    Duration: 2:32
    Wakulima wa mpunga katika kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa, kutokana na uvamizi wa nyuni. Kwa sasa, jumla ya ekari 94 za mpunga zimeharibiwa chini ya muda wa siku kumi.