Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi 700 wanapewa hundi ya pesa kulipia karo eneobunge la Nakuru Town West

  • | Citizen TV
    269 views
    Duration: 4:26
    Ni nafuu Kwa wazazi wa zaidi ya wanafunzi 700 wale wanaojiunga na shule za Sekondari ya Juu kupata ufadhili wa masomo kupitia hazina ya fedha za usitawishaji maeneo bunge NG - CDF ya Nakuru Magharibi, wanafunzi hao kutoka shule za bweni kote nchini wakipewa asilimia Mia moja ya ufadhili wa Karo ya muhula wa Kwanza