Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili wahofiwa kufariki baada ya jengo kuporomoka South C

  • | Citizen TV
    4,687 views
    Duration: 5:51
    Watu wawili wanahofiwa kufariki baada ya jengo la kuporomoka mapema leo mtaani south c. Hivi sasa oparesheni ya kuwatafuta wawili hao katika vifusi vya jengo hilo inaendeshwa na maafisa wa jeshi wakishirikiana na polisi