Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa maji Eric Mugaa abatilisha kandarasi ya mfumo wa majitaka mjini Meru

  • | Citizen TV
    188 views
    Duration: 1:25
    Waziri wa maji na unyunyiziaji mashamba Eric Mugaa amemwachisha kazi mwanakandarasi aliyekuwa akijenga Mtambo wa majitaka wa mji wa Meru eneo la Rwanyange kwa sababu ya utepetevu.