Skip to main content
Skip to main content

Siasa za mustakabali wa ODM zaibuka kwenye mazishi ya Raila Odinga

  • | Citizen TV
    1,365 views
    Duration: 3:35
    Siasa za chama cha ODM zilisheheni katika mazishi ya hayati Raila Odinga huko Bondo, huku viongozi wa chama hicho wakiapa kuimarisha chama hicho na kushirikiana na Rais William Ruto. Rais William Ruto pia naye akionekana kuingilia siasa za mustakabali wa ODM baada ya kifo cha Raila Odinga akisema chama hicho kitabuni serikali ijayo. Baadhi ya wandani wa raila wameapa kulinda odm kwa hali na mali kuhakikisha inasalia imara