Skip to main content
Skip to main content

Wandani wa zamani wa Raila wamkumbuka kwa ukomavu na ushupavu wake wa siasa

  • | Citizen TV
    969 views
    Duration: 5:23
    Miongoni mwa viongozi waliomkumbuka Raila Odinga walipompa mkono wa buriani kwenye mazishi ya leo ni wandani wake wa zamani wa kisiasa akiwemo mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi na Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka. Waliozungumza wakionyesha ushupavu na ukomavu wa Raila kwenye siasa za Kenya