Skip to main content
Skip to main content

Askofu Kodia amwelezea Raila kama muumini wa kujitolea wa kanisa la Anglikana

  • | Citizen TV
    992 views
    Duration: 4:03
    Waombolezaji waliofika kumzika Raila Odinga walifahamishwa namna alivyokuwa muumini wa kujitolea wa kanisa la kianglikana. Askofu wa kianglikana wa dayosisi ya Bondo David Kodia akieleza namna ubatizo wa Raila ulivyozua utata kutokana na kukosa kwake jina la kingereza na badala yake babake kumpa jina la kiluo