Skip to main content
Skip to main content

Ibada ya wafu ya Raila yagubikwa na imani za kidini na kitamaduni

  • | Citizen TV
    1,001 views
    Duration: 3:06
    Uwanja wa chuo kikuu cha Jaramogi Oginga Odinga leo ulifurika maelfu ya watu waliohudhuria ibada ya wafu ya marehemu Raila Odinga. Hafla hiyo iliyoongozwa na kanisa pia ilisheheni itikadi za kitamaduni ambapo wazee wa jamii walifanya matambiko