Fuatilia kupitia VOA ripoti mpya za uchaguzi wa Marekani 2024
Mamilioni ya Wamarekani Jumanne wanatarajiwa kumchagua mrithi wa Rais Joe Biden na wabunge wapya katika siku ya mwisho ya kupiga kura kwa uchaguzi wa Marekani Novemba 5.
Kinyang’anyiro cha kuingia White House, ni kati ya Makamu Rais Kamala Harris na Rais wa zamani Donald Trump, zaidi ya Wamarekani milioni 80 waliojiandikisha kupiga kura, hadi kufikia Jumatatu walikuwa tayari wamepiga kura zao kwa kutumia mfumo wa upigaji kura wa mapema, kulingana na vyanzo mbalimbali vya habari, likiwemo Shirika la habari la Associated Press.
Fuatilia kupitia idhaa ya Kiswahili ya VOA katika Facebook, X and YouTube kufahamu zaidi kuhusu uchaguzi wa 2024 Marekani na uendelee kupata taarifa mpya kadri zinavyotokea.
#harris #trump #uselections #voaelections #voaelections2024
5 Aug 2025
- According to the CS, all schools will be affected.
5 Aug 2025
- This comes days after the application window for the September intake closed.
5 Aug 2025
- Thousands of Kenyans have not yet paid their HELB loans.
5 Aug 2025
- Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
5 Aug 2025
- Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
5 Aug 2025
- Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
5 Aug 2025
- The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
5 Aug 2025
- The meeting comes about a month after the Registrar of Political Parties reaffirmed Uhuru as the Party Leader.
5 Aug 2025
- Since his arrival in the USA, Gachagua has visited Boston, Massachusetts, Maryland and Seattle.
5 Aug 2025
- The pastor had been suspended over allegations of misconduct.
5 Aug 2025
- According to the CS, all schools will be affected.
5 Aug 2025
- This comes days after the application window for the September intake closed.
5 Aug 2025
- According to KMPDC appeals to be made after 90 days; bed update requests due by August 8.