- 671 viewsMakamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Jumatano amekubali kushindwa katika uchaguzi wa urais, akimpigia simu Rais wa zamani Donald Trump, kumpongeza kwa ushindi wake na kuwaambia wafuasi wake kwamba si wakati wa kumaliza vita vya kutetea maono ya kimaendeleo kwa nchi hiyo. “Ni sawa kusikia huzuni na kukata tamaa,” aliuambia umati wa watu katika Chuo Kikuu cha Howard, hapa Washington, chuo alicho somea. Mgombea huyo wa chama cha Demokrat amesema mapambano yataendelea katika kura, mahakamani na majukwaa ya umma. Trump ameshinda uchaguzi wa Jumanne na kuwa rais wa 47 wa nchi hiyo huku akitwaa takriban majimbo matano kati ya saba muhimu ya ushindani na alikuwa akiongoza katika mengine mawili wakati hesabu za kura zikiendelea. Trump na makamu wake JD Vance, wataingia madarakani Januari 20 kwa muhula wa miaka minne. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Kamala ampongeza Trump, aeleza kanuni ya msingi ya demokrasia
- 18 Jun 2025 - In a statement issued Wednesday morning, the Commission expressed deep concern about the violent crackdown on demonstrators demanding the resignation of Deputy Inspector General of Police Eliud Lagatt in the aftermath of the controversial death of…
- 18 Jun 2025 - Roba’s resignation was communicated through a formal letter dated June 18, 2025, addressed to the County Assembly Clerk, citing “personal reasons” for his decision to step down effective June 17.
- 18 Jun 2025 - The father of Boniface Mwangi Kariuki, the 22-year-old hawker who was shot in the head by an anti-riot police officer along Moi Avenue in Nairobi during protests, is now appealing for justice and speedy action.
- 18 Jun 2025 - The crash, which occurred around 6:00 p.m. and involved three vehicles, injured more than 50 people, including several Moi University students who were on a school bus.
- 18 Jun 2025 - Calm has returned to the Nyamira County Assembly after a leadership dispute gripped the devolved unit for over ten months.
- 18 Jun 2025 - LSK president Faith Odhiambo has called for the arrest of the colleague who was with the police officer captured shooting a face mask vendor in the head during Tuesday's pro-Albert Ojwang's protests in Kenya's capital.
- 18 Jun 2025 - The crash of an Air India Boeing (BA.N) 787 Dreamliner seconds after takeoff from Ahmedabad city, killing all but one of the 242 people on board, is the world's worst aviation disaster in a decade.
- 18 Jun 2025 - A proposed affordable housing project has courted controversy.
- 18 Jun 2025 - The drugs will be utilised by all healthcare facilities nationwide.
- 18 Jun 2025 - New SHA scheme gives teenage mothers separate medical coverage from parents