- 1,218 viewsRais Joe Biden Alhamisi aliwasihi Wamarekani kukubali matokeo ya uchaguzi wa rais wa Jumanne, ambapo Rais wa zamani Donald Trump alimshinda mrithi wa Biden, Makamu Rais Kamala Harris. Ameahidi kukabidhi madaraka kwa Trump, ambaye anachukua hatamu za uongozi, ambaye aliwashawishi wafuasi wake kuandamana hadi kwenye jengo la bunge wakati wajumbe walipokuwa wanarasimisha ushindi wa Biden 2020. Rais Joe Biden jana Alhamisi aliahidi kukifanya kipindi cha mpito cha mrithi wake Rais mteule Donald Trump kuwa na utaratibu mzuri. Pia ameomba umoja baada ya kushindwa kwa mgombea aliyempendelea, Makamu Rais Kamala Harris. Joe Biden, Rais wa Marekani: “Watu wamepiga kura na kuchagua viongozi wao, na walifanya hivyo kwa amani. Sisi tuko katika demokrasia, nia ya watu siku zote ndiyo inashinda.” Trump, katika hotuba yake ya ushindi siku moja kabla, pia alisisitiza umoja, wakati akielezea njia ya wazi miongoni mwa wapiga ambayo imempa yeye ushindi mzuri. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Rais Biden awasihi Wamarekani kukubali matokeo ya uchaguzi wa rais
- - Duniani Leo ››
- 18 Jun 2025 - Israel's strikes on Iran have targeted several of its nuclear facilities as it claims the country is seeking to develop nuclear weapons -- an accusation Tehran denies.
- 18 Jun 2025 - Mali began construction of a new Russia-backed gold refinery on Monday, which the West African country's military leader said would take it closer to asserting control over its natural resources.
- 18 Jun 2025 - Senegal has postponed until June 23 the publication of its budget execution reports for the last two quarters, the finance ministry said in a statement, as the new administration works to rebuild investor trust after a hidden-debt scandal.
- 18 Jun 2025 - The future of the Lake Olbolosat half marathon, whose second edition was held over the weekend in Nyandarua, looks uncertain after rivalry between two county departments dogged the planning of the event for the second time. Being an athletics event, the…
- 18 Jun 2025 - Families in pain as abductions, killings spark fresh fears
- 18 Jun 2025 - Why insurance regulator is reluctant to approve microinsurance products
- 18 Jun 2025 - Why African diaspora are choosing to settle in Kenya
- 18 Jun 2025 - I was rejected on Shark Tank Now I run a multi-million-dollar business
- 18 Jun 2025 - Kisumu's female coffin makers defy gender stereotypes
- 18 Jun 2025 - How police have turned cells into death traps for leaders' 'enemies'