- 603 viewsMamlaka nchini Ufaransa imeongeza ulinzi mjini Paris kabla ya mechi kati ya Ufaransa-Israel siku ya Alhamisi, kwa matumaini ya kuepuka kurejewa kwa ghasia mbaya kati ya wenyeji na mashabiki wa soka wa Israeli kama zilizotokea Amsterdam wiki iliyopita. Mechi ya Nations League itakayochezwa katika uwanja wa Stade de France inafanyika wakati kuna hali ya wasi wasi, huku uhusiano wa kidiplomasia baina ya Rais Emmanuel Macron na Kiongozi wa Israeli Benjamin Netanyahu unayumba kutokana na vita vya Israel huko Gaza. Takriban maafisa polisi 4,000 watalilinda tukio hilo, polisi wamepelekwa uwanjani, nje ya uwanja na kwenye usafiri wa umma, polisi mjini Paris ilisema. Maafisa polisi kadhaa na magari tayari yameanza kufanya doria nje ya uwanja wa Stade de France siku ya Jumatano mchana, wakati timu hizo mbili zikiwa katika mazoezi. #ufaransa #paris #mechi #nationsleague #emmanuelmacron #benjaminnetanyahu #israeli #voa #voaswahili
Ufaransa yaimarisha ulinzi kuepusha ghasia zilizotokea Amsterdam
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has launched a scathing attack against President William Ruto, questioning his integrity, and suitability to hold public office.
- 6 Aug 2025 - Firebrand Busia Senator and 2027 presidential hopeful Okiya Omtatah has declared his net worth to be in the range of Ksh.100 million to Ksh.200 million.
- 6 Aug 2025 - A section of Members of Parliament allied to the Kenya Kwanza administration have strongly rejected a report by the Kenya Human Rights Commission (KHRC) that called for the scrapping of the Hustler Fund.
- 6 Aug 2025 - A 14-year-old who was on the verge of being married off in Kajiado County was rescued, amidst rising concerns of early child marriages during the school holiday season.
- 6 Aug 2025 - Why we should start thinking twice before having children
- 6 Aug 2025 - Audit exposes Sh9.4b hole in e-Citizen, shows millions paid in illegal charges
- 6 Aug 2025 - Six Kenyans sue polls agency for blocking petitions to recall MPs
- 6 Aug 2025 - Raila's sudden opposition to NG-CDF after 20 years silence
- 6 Aug 2025 - The building collapse that sparked Tanzania's jobs ban