Ndege za kivita za Israel zashambulia malengo ya Hezbollah kusini mwa Lebanon
Idadi ya vifo kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Lebanon tangu ilipoanza kuwapiga wanamgambo wa Hezbollah wanaoungwa mkono na Iran, imefikia watu 3,365.
Hesabu ya wizara ya afya ya Lebanon pia inasema idadi ya watu waliojeruhiwa imefikia watu 14,344.
Jeshi la Israel IDF, limesema kwamba limeongeza operesheni zake za ardhini kusini mwa Lebanon, linapoendelea na mashambulizi ya anga mjini Beirut.
Ndege za kivita za Israel zimeendelea kushambulia malengo ya Hezbollah kusini mwa Beirut, huku jeshi likidai kwamba linaendelea kuharibu darzeni ya mifumo ya kurusha makombora ya Hezbollah, nchini Lebanon.
Israel imesema kwamba makamanda kadhaa wa Hezbollah wameuawa katika mashambulizi ya hivi karibuni kusini mwa Lebanon.
Wanamgambo wa Hezbollah nao wamesema kwamba wameshambulia sehemu za kaskazini mwa Israel kwa kutumia ndege zisizokuwa na rubani na makombora. - AP
#voaswahili #afrika #israel #syria #hamas #beirut #lebanon #hezbollah #malengo
18 Jun 2025
- The suspect is currently being held by anti-terror police.
18 Jun 2025
- Investigations have since began to establish the main cause of the accident
17 Jun 2025
- Gachagua has torn into President Ruto for what he terms as a disregard for human life.
18 Jun 2025
- The US president insists Washington has played no part in ally Israel's bombing campaign, but also warned Iran his patience is wearing thin as the conflict enters a sixth day.
18 Jun 2025
- Four human rights activists arrested on Tuesday in Mombasa for participating in a protest demanding justice for the late teacher and blogger Albert Ojwang’ have been released on cash bail of Ksh.5,000 each.
18 Jun 2025
- Israel's strikes on Iran have targeted several of its nuclear facilities as it claims the country is seeking to develop nuclear weapons -- an accusation Tehran denies.
18 Jun 2025
- Mali began construction of a new Russia-backed gold refinery on Monday, which the West African country's military leader said would take it closer to asserting control over its natural resources.
18 Jun 2025
- Senegal has postponed until June 23 the publication of its budget execution reports for the last two quarters, the finance ministry said in a statement, as the new administration works to rebuild investor trust after a hidden-debt scandal.
18 Jun 2025
- The suspect is currently being held by anti-terror police.
18 Jun 2025
- Wheels of Justice: Court stories lined up for today.
18 Jun 2025
- The Republican president reportedly is considering helping target the Islamic Republic's nuclear facilities.
18 Jun 2025
- The city mask vendor who was shot in Nairobi is currently undergoing surgery, with an intensive care unit (ICU) bed prepared for post-operative care.
18 Jun 2025
- One of the five arresting officers told the family he was accused of insulting a police boss on social media.