Marekani, Japan na Korea Kaskazini wafanya mazoezi ya kijeshi ya pamoja
Wanajeshi wa Marekani, Japan, na Korea Kusini wamefanya mazoezi ya pamoja katika bahari ya kanda ya Asia Mashariki.
Mazoezi hayo ni mapana na ya mwisho kabla ya rais Joe Biden kuondoka madarakani na kukabidhi uongozi kwa Donald Trump.
Balozi wa Marekani nchini Japan Rahm Emmanuel amesema kwamba mazoezi hayo ya nchi tatu na ushirikiano wa kijeshi unatuma ujumbe mzito kwa Beijing.
Kamanda wa wanajeshi wa Korea Kusini katika mazoezi hayo Hur Sung Jae, amesema mazoezi hayo ni ujumbe kwa Korea Kaskazini kwamba wapo tayari kujibu hatua yoyote ya uchokozi.
Mazoezi yamefanyika baada ya Korea kaskazini kufanya majaribio ya makombora yake ya masafa marefu, mwezi uliopita.
#wanajeshi #marekani #japan #koreakusini #joebiden #mazoezi #donaldtrump
#koreakaskazini #beijing
17 Jun 2025
- Gachagua has torn into President Ruto for what he terms as a disregard for human life.
17 Jun 2025
- The mask vendor was unarmed and shot in full glare of the public.
17 Jun 2025
- One person was shot by police at point-blank range, amid allegations police turned a blind eye to armed goons who attacked protesters.
18 Jun 2025
- Mali began construction of a new Russia-backed gold refinery on Monday, which the West African country's military leader said would take it closer to asserting control over its natural resources.
18 Jun 2025
- Senegal has postponed until June 23 the publication of its budget execution reports for the last two quarters, the finance ministry said in a statement, as the new administration works to rebuild investor trust after a hidden-debt scandal.
18 Jun 2025
- Families in pain as abductions, killings spark fresh fears
18 Jun 2025
- Why insurance regulator is reluctant to approve microinsurance products
18 Jun 2025
- Why African diaspora are choosing to settle in Kenya
18 Jun 2025
- I was rejected on Shark Tank Now I run a multi-million-dollar business
18 Jun 2025
- Kisumu's female coffin makers defy gender stereotypes
18 Jun 2025
- How police have turned cells into death traps for leaders' 'enemies'
18 Jun 2025
- Is Ruto fully in charge or is he held captive by allies in government?
18 Jun 2025
- Moi University defends sacking over 1,000 staff