Skip to main content
Skip to main content

Wakenya zaidi ya 180 watuzwa kwenye sherehe za mashujaa kwa mchango wao katika sherehe za mashujaa

  • | Citizen TV
    2,401 views
    Duration: 4:25
    Zaidi ya wakenya 180 wametuzwa kama mashujaa kwenye sherehe ya mwaka huu ya mashujaa. Miongoni mwa waliotuzwa ni wachezaji wa harambee stars, wasanii waliotia fora kwa miziki yao na waja-siri-amali. Hapa runinga ya citizen, mwanahabari mwenza mwanahamisi Hamadi pia ametuzwa kwa kuangazia maswala ya wanawake kupitia kipindi chake cha mwanamke bomba