Wanaharakati: Watu 1,700 watumiwa kufanya ushawishi COP29
Kikundi cha wanaharakati walitumia nyoka mkubwa wa bandia kama nyenzo ya kufikisha ujumbe ndani ya ukumbi wa kongamano la COP 29 Ijumaa (Novemba 15) wakishinikiza kuwa watu wanaofanya ushawishi kwa niaba ya wachimbaji mafuta na gesi asilia katika mkutano huo kutolewa nje ambapo nchi mbalimbali zinajaribu kufikia makubaliano kuchukua hatua kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Ripoti ya Muungano wa kikundi cha Kick Out the Polluters Coalition ilisema zaidi ya washawishi 1,700 walikuwa wanahudhuria mkutano huo wa kila mwaka wa hali ya hewa. Mwaka 2023 kulikuwa na zaidi ya watu 2,400 waliokuwa wanafanya ushawishi kuhusu katika COP 28, lakini mahudhurio ya COP yalikuwa ni idadi kubwa zaidi kwa jumla. -Reuters
#cop29 #azerbaijan #fossilfuels #voaafrica #lobbyists #maandamano #voa #voaswahili
17 Jun 2025
- Gachagua has torn into President Ruto for what he terms as a disregard for human life.
17 Jun 2025
- The mask vendor was unarmed and shot in full glare of the public.
17 Jun 2025
- One person was shot by police at point-blank range, amid allegations police turned a blind eye to armed goons who attacked protesters.
18 Jun 2025
- Israel's strikes on Iran have targeted several of its nuclear facilities as it claims the country is seeking to develop nuclear weapons -- an accusation Tehran denies.
18 Jun 2025
- Mali began construction of a new Russia-backed gold refinery on Monday, which the West African country's military leader said would take it closer to asserting control over its natural resources.
18 Jun 2025
- Senegal has postponed until June 23 the publication of its budget execution reports for the last two quarters, the finance ministry said in a statement, as the new administration works to rebuild investor trust after a hidden-debt scandal.
18 Jun 2025
- The future of the Lake Olbolosat half marathon, whose second edition was held over the weekend in Nyandarua, looks uncertain after rivalry between two county departments dogged the planning of the event for the second time. Being an athletics event, the…
18 Jun 2025
- Families in pain as abductions, killings spark fresh fears
18 Jun 2025
- Why insurance regulator is reluctant to approve microinsurance products
18 Jun 2025
- Why African diaspora are choosing to settle in Kenya
18 Jun 2025
- I was rejected on Shark Tank Now I run a multi-million-dollar business
18 Jun 2025
- Kisumu's female coffin makers defy gender stereotypes
18 Jun 2025
- How police have turned cells into death traps for leaders' 'enemies'