Skip to main content
Skip to main content

Raila apongezwa kwa juhudi za usawa na kupinga ufisadi kaunti ya Trans Nzoia

  • | Citizen TV
    287 views
    Duration: 1:54
    Marafiki wa aliyekuwa Kinara wa Chama cha ODM, marehemu Raila Odinga, katika kaunti ya Trans Nzoia, wakiongozwa na aliyekuwa Waziri wa Misitu Daktari Noah Wekesa na Askofu mstaafu wa kanisa la AIC Silas Yego, wameendelea kumwomboleza na wamemsifu Odinga kwa kuwa kiongozi asiyejua ufisadi na mwenye maono ya kitaifa.