- 67 views
Kikundi cha marafiki wa msitu wa Karura, ambacho hujitolea kutunza na kulinda msitu huo, kimedai kwamba ukataji miti unaoendelea unahusisha kukata miti isiyo ya asili kama saru, mkalatusi, na kupanda miti ya asili kama vile mwoki mweupe. Mwenyekiti wa kikundi hicho, profesa Karanja Njoroge, anasema mpango huo umekuwa ukitekelezwa tangu mwaka wa 2010, ambapo waliondoa miti ya zamani na kupanda miti mipya katika eneo lenye ukubwa wa ekari kumi, amewapa wakenya hakikisho kuwa ardhi hiyo hainyakuliwi kama inavyodaiwa katika mitandao ya kijamii.
Kikundi cha marafiki wa msitu wa Karura wakanusha madai ukataji miti
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 20 Jun 2025 - Nigerian manufacturer Codix Bio Ltd plans to make millions of HIV and Malaria test kits at its new plant outside Lagos for the local and regional market to help fill gaps in the wake of cutbacks at U.S. donor agency USAID, a company executive said.
- 20 Jun 2025 - President Donald Trump announced Thursday he had given social media platform TikTok another 90 days to find a non-Chinese buyer or be banned in the United States.
- - Not so fast! Kenyans remind Gachagua of past remarks on violent crackdown on protests
- 20 Jun 2025 - Child rescue: Security teams searching for missing Grade One pupil as calls grow to end harmful practice
- 20 Jun 2025 - Event captures the human cost of unresolved national grievances.
- 20 Jun 2025 - A strategic meeting was held after the M-Pesa Foundation committed to investing some resources.
- 20 Jun 2025 - China signals breakthrough in new financial talks with Kenya
- 20 Jun 2025 - Why you should pay greater attention to children after death of loved ones
- 20 Jun 2025 - How Prezzo Ruto is crafting the State of Kenya in own image
- 20 Jun 2025 - Court detains police officers for 15 days over hawker shooting