Skip to main content
Skip to main content

Gavana Achani aongoza wananchi kumuenzi Raila Odinga

  • | Citizen TV
    983 views
    Duration: 2:23
    Gavana wa Kwale Fatuma Achani aliongoza viongozi wa Kaunti hiyo kumuomboleza hayati Raila odinga katika sherehe za mashujaa za kaunti hiyo katika Shule ya Msingi ya Tiribe Wadi ya Mkongani huko Matuga.