- 258 views
Vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia miongoni mwa wanamichezo nchini vimepata usaidizi kufuatia kuteuliwa na kuzinduliwa kwa kamati ya kulinda visa hivyo vilivyotajwa kuongezeka. Kamati hii iliyozinduliwa na waziri wa michezo kipchumba murkomen asubuhi ya leo, itakuwa na baraza la ushauri likiongozwa na katibu wa mambo ya vijana, ubunifu na michezo na huku mwenzake wa michezo akiwa naibu wake. Miongoni mwa majukumu ya kamati hiyo ni utekelezaji kamili wa ripoti ya mwaka 2022 ya usawa wa kijinsia katika michezo na maendeleo ya sera za kuzuia ukatili wa kijinsia katika michezo.
Kamati dhidi ya unyanyasaji michezoni yazinduliwa
- 21 Jun 2025 - Rwanda has arrested prominent opposition leader Victoire Ingabire on charges of inciting public disorder and creating a criminal organisation, a state investigative agency said - a move one of her lawyers said was politically motivated.
- 20 Jun 2025 - Democracy for Citizen Party (DCP) leader and former Deputy President Rigathi Gachagua has renewed his attacks on President William Ruto, accusing him of ousting him from power based on what he terms as false accusations, including the controversial…
- 20 Jun 2025 - The Roads and Transport Cabinet Secretary Davis Chirchir has unveiled four draft regulations targeting private car owners, commercial drivers, school transport operators, and PSVs.
- 20 Jun 2025 - Kenya Kwanza leaders now claim there is a plot by the opposition to incite Gen Z youth to stage protests and spark chaos across the country.
- 20 Jun 2025 - Leaders must do what is right and not what is easy and popular, former Prime Minister Raila Odinga has said.
- 20 Jun 2025 - President William Ruto’s daughter, Charlene Ruto, is calling for a truce between Kenya’s senior citizens and the country’s increasingly vocal Gen Z youth.
- 20 Jun 2025 - IPOA has dismissed claims published in a local daily alleging that DIG Eliud Lagat, was interrogated by the State body’s top leadership, clarifying that he was instead received by the technical investigation team handling the probe into Albert Ojwang’s…
- 20 Jun 2025 - The Convention on Biological Diversity (CBD) parties have been reminded to demonstrate full commitment to the treaty to advance the implementation of the Global Biodiversity Framework.
- 20 Jun 2025 - MPs retained some clauses and rejected several other tax proposals.
- 20 Jun 2025 - Lawyer wants the Kajiado North MP Onesmus Ngongoyo compelled to remove the portraits placed in schools, roads.