- 3,236 views
Wakenya 24 ni miongoni mwa zaidi ya washukiwa elfu moja kutoka mataifa 19 barani Afrika waliokamatwa kwa madai ya kuhusika na wizi wa mabilioni kupitia mtandao kulingana na ripoti ya interpol, wakenya hao wanadaiwa kuhusika na wizi wa shilingi bilioni 1.1 zilizoibwa kwa kubadilisha ulinzi wa mitambo ya benki kabla ya kutumia mtandao wa swift kutuma fedha hizo mataifa ya uarabuni, nigeria, uchina na kuzirejesha nchini kupitia kampuni zinazotoa huduma za fedha mitandaoni. Ripoti hiyo imesema watu 35,000 wameathirika na visa vya wizi wa mitandao hata ingawa maafisa wa usalama tayari wamerejesha zaidi ya shilingi bilioni 5.6 na kuharibu maelfu ya mitandao inayohusishwa na wizi huo.
Wakenya 24 wakamatwa kwa madai ya wizi wa benki kupitia mitandao
- - News from Counties ››
- 22 Jun 2025 - Armed men opened fire at a wedding party in southeastern France early Sunday, killing two people, including the bride, and wounding three others, said a source close to the investigation.
- 22 Jun 2025 - Three areas of Israel including coastal hub Tel Aviv were hit Sunday morning during waves of Iranian missile attacks, with at least 23 people injured, according to rescue services and police.
- 22 Jun 2025 - Nominated Nyandarua County MCA Beth Wahito has died after being involved in a grisly road accident along the Nairobi-Nakuru Highway on Saturday night.
- 22 Jun 2025 - Police officers at Ololulunga police station in Narok South sub-county are investigating an incident where a mother suspected to be mentally challenged has allegedly killed her one-year-old daughter on Saturday night.
- 22 Jun 2025 - The use of tear gas during protests is common in Kenya.
- 22 Jun 2025 - If successful, Thika will become Kenya’s sixth city, joining Nairobi, Mombasa, Kisumu, Nakuru and Eldoret.
- 22 Jun 2025 - Iranian Foreign Minister Abbas Araghchi said on Sunday the United States and Israel “decided to blow up” diplomacy when they launched strikes on his country’s nuclear sites. In a post on X, Araghchi said Israel blew up negotiations between Tehran and…
- 22 Jun 2025 - The service, scheduled for 3pm, has been organized under the #LestWeForgetJune25 banner by faith-based organizations, including the National Council of Churches of Kenya (NCCK), the Evangelical Alliance of Kenya (EAK), and the Kenya Christian…
- 22 Jun 2025 - Armed men opened fire at a wedding party in southeastern France early Sunday, killing two people, including the bride, and wounding three others, said a source close to the investigation. The attack in the village of Goult occurred around 4:30 am (0230…
- 22 Jun 2025 - Iraa girls stun giants to clinch Kericho volleyball, netball crowns