- 406 views
Seneta wa kaunti ya Tana River Danson Mungatana ameondoa mswada ulionuiwa kudhibiti mashirika ya kidini humu nchini ambao ulikuwa umepingwa vikali na baadhi ya viongozi wa kidini. Seneta huyo amesema uamuzi huo uliafikiwa kufuatia mashauriano baina ya viongozi wa kidini na wale wa kisiasa.Kutokana na hayo,viongozi wa kidini wameridhia hatua hiyo huku wakitoa wito wa mashauriano zaidi katika kudhibiti mashirika ya kidini.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Seneta Mungatana aondoa muswada wa kudhibiti makanisa
- 22 Jun 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua now accuses his former boss, President William Ruto, of sponsoring youths in Meru County to ensure he and his allies do not address rallies over the weekend.
- 22 Jun 2025 - Former Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi has warned Deputy President Kithure Kindiki to be careful with his boss, President William Ruto.
- 22 Jun 2025 - Armed men opened fire at a wedding party in southeastern France early Sunday, killing two people, including the bride, and wounding three others, said a source close to the investigation.
- 22 Jun 2025 - The park was established 79 years ago.
- 22 Jun 2025 - The revelations come as Gachagua continues to use church gatherings to campaign against Ruto.
- 22 Jun 2025 - This is the second bombing incident in Kampala in less than a month.
- 22 Jun 2025 - Art Show on essence of a woman
- 22 Jun 2025 - How to boost hope in people
- 22 Jun 2025 - Fired by a bot, age of useless talent is here
- 22 Jun 2025 - FGM prevalence drops but girls still in danger, warn survivors