Skip to main content
Skip to main content

Raia wa Kenya na Senegal sasa kusafiri bila visa baada ya makubaliano mapya

  • | Citizen TV
    1,643 views
    Duration: 2:10
    Kenya na Senegal zimetia saini makubaliano ya pamoja ambayo yatawaruhusu raia wa nchi zote mbili kusafiri mataifa hayo bila visa. Mkataba huo, ulitiwa saini leo katika ikulu ya Nairobi