Skip to main content
Skip to main content

Mahakama ya leba yazuia Kaunti ya Kiambu kuajiri madaktari wapya hadi kesi isikilizwe

  • | Citizen TV
    475 views
    Duration: 42s
    Mahakama ya leba imeizuia serikali ya kaunti ya Kiambu kuwaajiri madaktari wapya hadi kesi iliyowasilishwa mahakamani itakaposikilizwa na kuamuliwa