Skip to main content
Skip to main content

Uchunguzi wabaini waliouawa Kasarani na Nyayo walipigwa risasi

  • | Citizen TV
    10,396 views
    Duration: 3:55
    Uchunguzi wa watu waliofariki uwanja wa Kasarani na ule wa nyayo wakati wa maombolezi ya marehemu waziri mkuu wa zamani Raila Odinga, umethibitisha kuwa walifariki kwa mtutu wa bunduki. Risasi zilizopatikana kwenye miili ya Evans Kiche pamoja na Vincent Otieno Ogutu zimekabidhiwa mamlaka ya IPOA kwa uchunguzi zaidi. Hata hivyo, mwili mmoja umesalia makafani ya city bila kutambuliwa