Skip to main content
Skip to main content

LSK yaongoza shinikizo kwa serikali ya Uganda kuwaachilia Wakenya wanaozuiliwa nchini humo

  • | Citizen TV
    1,094 views
    Duration: 2:56
    Shinikizo zimeendelea kutaka kuachiliwa kwa wakenya wawili wanaozuiliwa nchini Uganda huku mashirika ya haki ya humu nchini yakianzisha kampeni kumtaka Rais Yoweri Museveni wa Uganda kuwaachilia. Chama cha mawakili nchini LSK kikiongoza kampeni hii inayotaka shinikizo zaidi dhidi ya serikali ya Museveni.Haya yamejiri huku kesi ya kutaka kuwasilishwa kwa wawili hao kortini ikiahirishwa hadi kesho nchini Uganda