Mazishi ya mtoto wa miaka 12 aliyeuwawa Ukingo wa Magharibi, Mpalestina ajisalimisha
Wananchi wa Israeli walifanya mazishi mjini Jerusalem ya mtoto wa miaka 12 Yehoshua Aharon Tuvia Simha, ambaye aliuwawa katika shambulizi la bunduki kwenye basi katika eneo linalokaliwa kimabavu huko Ukingo wa Magharibi siku ya Alhamisi
Shambulizi hilo lilitokea kati ya saa sita usiku Jumatano na mapema Alhamisi, na watu wasiopungua wanne walijeruhiwa.
Jeshi la Israeli lilisema kuwa katika kumfuatilia mtu huyo aliyefanya shambulio hilo, Mpalestina huyo alijisalimisha kwa vyombo vya usalama.
Ghasia huko Ukingo wa Magharibi tayari ziliongezeka kabla ya vita vya Gaza kuanza Oktoba 7 mwaka jana na zimeendelea kuongezeka tangu wakati huo, huku kukiwepo uvamizi wa mara kwa mara wa jeshi la Israeli, ghasia zinazofanywa na walowezi wa Kiyahudi na mashambulizi ya mitaani yanayofanywa na Wapalestina dhidi ya Waisraeli. -Reuters
#israel #wapalestina #shambulizi #vifo #Nuseirat #gaza #hamas #mateka #voa #voaswahili #mtoto #ukingowamagharibi
6 Aug 2025
- The warning comes as the government makes changes to the sector.
6 Aug 2025
- Ruto made the appointments on Wednesday evening.
6 Aug 2025
- The nominee is awaiting Parliament's approval.
7 Aug 2025
- Israel's military will have to execute any government decisions on Gaza, the defence minister said Wednesday after reported disagreements over the prospect of a full occupation of the Palestinian territory.
7 Aug 2025
- The DP said the administration considers the youth bulge as a resource to be tapped into for faster development of the country as opposed to being a challenge and a burden.
7 Aug 2025
- Seven Ethiopian migrants died of hunger and thirst after their boat's engine failed in the Red Sea, the United Nations migration agency said Wednesday.
7 Aug 2025
- Investigations have revealed that the woman shot dead by a police officer in Kanyonyoo, Kitui County, was married and had left her husband at home under the pretext of going to work in Kitengela.
7 Aug 2025
- The National Police Service (NPS) says it has launched a swift and comprehensive investigation following the BBC Africa Eye documentary, ‘Madams: Exposing Kenya's Child Sex Trade,’ which exposed the alarming issue of child trafficking and sexual…
6 Aug 2025
- Retired President Uhuru Kenyatta has in recent days resurfaced in public, triggering political conversations.
6 Aug 2025
- IEBC Chairman Erastus Ethekon has announced that the 2027 elections will be free and fair, amidst statements from President William Ruto’s allies that he will be voted back for a second term by all means necessary.
6 Aug 2025
- The Ministry of Education has directed all its field officers to enforce strict compliance with traffic laws that restrict school bus operations to between 6am and 6pm, as outlined in the Traffic (Amendment) Act 2017.
6 Aug 2025
- Two civil society organisations have moved to court to challenge the nomination of Dr. Duncan Oburu Ojwang as Chairperson of the KNCHR, citing a violation of constitutional gender provisions.
6 Aug 2025
- So, what really triggered the call to reassess Kenya’s US non-NATO major ally status?