Tanzania kuendelea kuchimba, kuuza makaa ya mawe.
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuchimba na kufanya biashara ya makaa ya mawe kutokana faida za kiuchumi kwa taifa hilo, licha ya bidhaa hiyo kuhusishwa na uchafuzi wa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi.
Baadhi ya mataifa barani Ulaya yanaachana na matumizi ya makaa ya mawe hususani katika kuzalisha umeme.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati, Doto Biteko katika mahojiano maalumu na mwandishi wa BBC Florian Kaijage, ambapo miongoni mwa mambo mengine aliyoyazungumzia ni pamoja usambazaji wa gesi majumbani, bei ya mafuta ya petroli na dizeli, kuwepo kwa umeme wa kutosha na masuala ya uongozi kwa ujumla.
#bbcswahili #nishati #gesi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
20 Jul 2025
- The key terminal was shut down on Sunday afternoon.
20 Jul 2025
- The DCI said they found a round and teargas canisters in the activist's possession.
20 Jul 2025
- The new fees to take effect in the next few weeks.
20 Jul 2025
- Speaking after a Sunday Mass at Regina Caeli Catholic Church in Karen, presided over by Nairobi Archbishop Philip Anyolo, the leaders underscored their faith in the electoral process and the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
20 Jul 2025
- Israel's military disputed the death toll and said soldiers had fired warning shots "to remove an immediate threat posed to them" as thousands gathered near Gaza City.
20 Jul 2025
- The President dismissed claims that he had over-promised Kenyans, saying the pledges he made will be fully implemented and are raising the country’s ambition for transformation.
20 Jul 2025
- Rachel Booth, aged 38, disappeared in the early hours of Saturday.
20 Jul 2025
- Mumias East Member of Parliament (MP) Peter Salasya, who has declared his intention to run for the presidency
20 Jul 2025
- The Kenya Airports Authority (KAA) has issued a statement following a fire alarm incident at Jomo Kenyatta International
20 Jul 2025
- The key terminal was shut down on Sunday afternoon.
20 Jul 2025
- Outspoken lawyer and political analyst Willis Otieno has called out President William Ruto over his recent remarks on parenting.
20 Jul 2025
- Former Interior CS asks Kenyans in the US to support his quest to unseat Ruto.
20 Jul 2025
- Advocate Ndegwa Njiru has launched a scathing attack on President William Ruto following his recent donation at a Machakos church, where he handed over a brand-new Land Cruiser Prado along with Ksh20 million towards the church’s construction. In a post…