- 191 viewsUpendo Kibona, Mkurugenzi wa Kampuni ya Lucid Dream Limited, anasema kuwa madini ya Tanzania yanapouzwa ndani pekee, thamani yake inabaki kuwa ndogo. Alisisitiza kuwa ni muhimu wanunuzi wa kimataifa washiriki moja kwa moja kwenye minada nchini. "Tunaogombania haya madini ni Watanzania sisi wenyewe. Wale watu wa nchi za nje wakija hapa Tanzania kuyanunua haya madini, ndio pale tutapata masoko ya kuyauza nje ya nchi. Lakini yanaponunuliwa kwa Watanzania wenyewe, inakuwa ni ngumu kuwa na thamani kubwa," alisema Kibona. Wanunuzi wanasema kuwa kuanzishwa kwa mnada huo wa kidijitali utasaidia kurudisha na kuongeza thamani ya madini nchini kwa kuimarisha ushindani sokoni na hivyo kusaidia wanunuzi hao kupata bei nzuri. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #tanzania #mfumo #kidigitali #madini #ununuzi #uuzaji #sokolabidhaa #nicholauskaserwa #mererani #manyara #mkoa #voa #voaswahili #luciddreamltd
Kampuni ya Lucid Dream Ltd inasisitiza umuhimu wa wanunuzi wa nje
- 7 Aug 2025 - The United Nations is set to expand its base in Kenya as Agencies, Funds and Programmes relocate some of their regional and global operations to Kenya.
- 7 Aug 2025 - President William Ruto has mourned the loss of eight Ghanaian nationals who were involved in a military helicopter crash.
- 7 Aug 2025 - President William Ruto has mourned the loss of eight Ghanaian nationals who were involved in a military helicopter crash.
- 7 Aug 2025 - Two families in Mlolongo, Machakos County, are in anguish months after their kin disappeared under mysterious circumstances.
- 7 Aug 2025 - Police are expected to adhere to the directive within the next seven days.
- 7 Aug 2025 - Kericho Governor Eric Mutai has called for the 'dissolution' of the county.
- 7 Aug 2025 - The proposal to outlaw boda bodas came from one of Ruto's top advisers.
- 7 Aug 2025 - New user registrations for the platforms rose by 10,440 to reach 41,265.
- 7 Aug 2025 - His latest pronouncement comes amid public concerns.
- 7 Aug 2025 - President Ruto stated that boda boda operators are legitimate entrepreneurs whose businesses must be supported.