- 8 views
Kaunti ya Kwale imepiga hatua kubwa katika utoaji huduma za matibabu baada ya kuzindua kitengo cha kuwatunza watoto wachanga katika hospitali ya matibabu maalum ya Msambweni. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kitengo hicho, gavana wa Kwale, Fatuma Achani aliangazia umuhimu wa kitengo hicho katika kushughulikia masaibu yanayokumba watoto wanaozaliwa katika kaunti hiyo. Ushirikiano hao kati ya wakfu wa M-Pesa na serikali ya kaunti ya Kwale unanuiwa kutoa huduma maaalum za matibabu kwa watoto wachanga hasa wale wanaozaliwa kabla ya muda wao ambao wanahitaji malezi maalum.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Kaunti ya Kwale yazindua kitengo maalum hosptalini Msambweni
- 27 Jun 2025 - President William Ruto has made a new round of appointments and promotions in the Kenya Defence Forces (KDF), in changes affecting all service branches.
- 27 Jun 2025 - He made the pronouncement on Friday.
- 27 Jun 2025 - Beasley Kogi Kamau was killed in Nairobi CBD during the Gen Z demonstrations in June 2024.
- 27 Jun 2025 - Faith broke her own 2023 world record.
- 27 Jun 2025 - The Senate will hold a special sitting on Friday, June 27, 2025, to deliberate on a series of high-impact revenue bills that will define how national funds are shared with counties and marginalised areas. The session was called by Speaker Amason Kingi…
- 27 Jun 2025 - The woes facing Mediheal Hospital have deepened after a court ordered them to pay 63 expatriate professionals it owes over Sh400 million.
- 27 Jun 2025 - 'Follow right path to power', CS Ruku warns opposition
- 27 Jun 2025 - President William Ruto has Friday announced major changes within the Kenya Defence Forces (KDF) with promotions and new appointments affecting key positions across the Kenya Army, Air Force, and Navy.
- 27 Jun 2025 - The officer was suspected to be under the influence when he committed the act.
- 27 Jun 2025 - The suspect was also found in possession of four number plates, allegedly used to conceal the vehicle's identity.Officers from Oruba Police Station, acting on a tip-off, intercepted a black van bearing