- 578 viewsMwanafunzi wa Chuo Kikuu Mwanafunzi wa chuo kikuu Portia Fafali Gedza anatambua vyema kuhusu athari ya habari za uongo kwenye WhatsApp kuhusu Makamu wa Rais wa Ghana Mahamadu Bawumia kwamba alikuwa anatoa pesa taslimu. Portia Fafali Gedza, mwanafunzi wa chuo kikuu anasema: “Mtu mmoja alinitumia kiungo cha taarifa kwamba Bawumia anagawa pesa. Nilibofya tu kwenye kiungo hicho, nikapitia mchakato wote, na ilifika mahali ambapo ilibidi nisambaze habari hiyo kwenye WhatsApp. Niliisambaza, na mwisho wa siku, sikutapa pesa. Kuna mtu alikuja kuniambia kwamba hizi habari ni za uongo, kwa hiyo nisingewaamini. Kwa sababu fikiria muda nilitumia kusambaza viungo hivyo, sikuweza kufanya chochote, na hivo, nilikuwa natumia bundle zangu, nilikuwa nasambaza kitu ambacho ni uzushi. Nilipata aibu.” Ripoti ya Isaac Kaledzi, VOA, Accra, Ghana. #ghana #voa #uchunguzi #uhakiki #habaripotofu #accra #waandishi #mwanafunzi #chuokikuu
Mwanafunzi asema alipata hasara na aibu baada ya kusambaza uzushi
- 1 May 2025 - Prof. Makau Mutua has told off critics who have questioned his appointment as President William Ruto’s Senior Advisor of Constitutional Affairs.
- 1 May 2025 - US President Donald Trump said on Wednesday that Tesla boss Elon Musk could stay working for the White House as long as he wanted but understood the tycoon wanted to get back to his businesses.
- 1 May 2025 - India's human rights body said Thursday it was investigating reports more than 100 children fell sick after eating a school lunch served after a dead snake was found in the food.
- 1 May 2025 - If the next pope is from sub-Saharan Africa, he would be the first in Catholic Church history. Catholic Africans think it is a long shot, though some are cautiously optimistic that Pope Francis’ successor could be a Black cardinal from their continent.
- 1 May 2025 - A confident President William Ruto reiterated that he will not cower from taking the unpopular leadership route to secure development for Kenyans.
- 1 May 2025 - President William Ruto has fulfilled his promise to sponsor 10 vulnerable girls from each of the 17 constituencies in Nairobi County.
- 1 May 2025 - Finance Bill 2025 will support entreprise and productivity in Kenya, President William Ruto has assured.
- 1 May 2025 - Orengo made the controversial sentiments during the groundbreaking ceremony of the Boro Maternity in Central Alego.
- 1 May 2025 - Member of Parliament for Mumias East Peter Salasya began his ambitious countrywide tour on Thursday, May 1, 2025, with a powerful focus on galvanising Kenya’s youth after declaring his 2027 presidential ambition. Taking to his official social media…
- 1 May 2025 - The CS made the remarks during the Labour Day celebrations at Uhuru Gardens.