Uwekezaji katika teknolojia unahitajika kuweza kuzuia upotoshaji, uongo
Pamoja na kuenea kwa taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii, Armando Nhantumbo mwandishi wa habari wa Msumbiji wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) anasema uwekezaji katika teknolojia unahitajika kwenye vyumba vya habari kuelekeza wanahabari jinsi ya kukabiliana na upotoshaji pamoja na habari za uongo.
(Armando Nhantumbo wa Media Institute of Southern Africa anaeleza:
“Shukrani kwa teknolojia, tunapata taarifa zaidi, na tunaweza kushiriki zaidi na zaidi katika masuala ya utawala ambayo ilikuwa ngumu miaka 30 iliyopita. Kinachotokea ni pamoja na faida hizi, lakini kuna hasara pia. Mojawapo ya ubaya ni kutoijua habari.”
MISA Msumbiji inatoa huduma za kuangalia ukweli na kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari, Nhantumbo anasema.
Armando Nhantumbo, Media Institute of Southern Africa anasema:
“Kuna vyombo vya kidijitali vinavyotusaidia kufanya hili na sisi MISA Msumbiji tumekuwa tukiandaa mafunzo kwa wanafunzi wa uandishi wa habari, waandishi wa habari na mashirika ya kiraia juu ya jinsi ya kutumia majukwaa haya.”
Kwa vile jamii inategemea zaidi mitandao ya kijamii kwa habari, watetezi wa vyombo vya habari wanasema kazi kama ya Evidencias na MISA Msumbiji itakuwa chombo chenye nguvu katika kuhabarisha umma kwa usahihi na uwazi.
#MISA #KusinimwaAfrika #msumbiji #maputo #waandishi #armandonhantumbo #mediainstituofsouthafrica #voa #voaswahili #habaripotofu #upotoshaji #voa #voaswahili
17 Jun 2025
- The recommendations come against the backdrop of mixed perceptions of economic performance.
17 Jun 2025
- A Kenyan fraud victim loses an estimated Ksh117,000 per incident.
17 Jun 2025
- The authority is responsible for supplying medical equipment and pharmaceuticals to hospitals nationwide.
17 Jun 2025
- City car dealer and businessman Joseph Kairo Wambui, alias Khalif Kairo has filed an application seeking the recusal of Senior Principal Magistrate M. Murage from presiding over his ongoing criminal trial, citing alleged bias and a compromised…
17 Jun 2025
- Three men have been charged with the murder of Kasipul MP Charles Ong'odo Were.
17 Jun 2025
- Africa is not a passive recipient of aid or a battleground for influence but a continent at the threshold of intra-Africa trade and economic independence, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
17 Jun 2025
- Update as of June 16, 2025.
17 Jun 2025
- Kalonzo placed the blame on security agencies, saying they have failed in their duties.
17 Jun 2025
- The recommendations come against the backdrop of mixed perceptions of economic performance.
17 Jun 2025
- A gang has temporarily foiled a protest calling for the resignation of Deputy Inspector General Eliud Lagat.
17 Jun 2025
- A Kenyan fraud victim loses an estimated Ksh117,000 per incident.
17 Jun 2025
- The High Court has declined bail applications for three accused persons in the murder of Kasipul MP Charles Ong’ondo Were. William Imoli alias Imo, Edwin Odour Odhiambo alias Machuani, and Ebel Ochieng alias Dave Calo were charged before the Kibera High…
17 Jun 2025
- The High Court has declined bail applications for three accused persons in the murder of Kasipul MP Charles Ong’ondo Were. Justice Diana Kavedza ruled that the three, namely Lake Basin Development Authority officer, Ebel Ochieng alias Dave Calo, Edwin…