- 422 viewsRaia wa Cameroon watapiga kura mwaka ujao kumchagua rais kwa muhula mwingine wa miaka saba. Chaguzi za awali katika taifa hili la Afrika ya Kati zilikumbwa na taarifa potofu ambazo zilichochea machafuko kwenye mitandao ya kijamii. Sasa, waandishi wa habari na wataalamu wa vyombo vya habari wanasema wanachukua hatua za mapema ili kuzuia kurudiwa kwa masuala haya. Amboh Vanessalizzy, mtayarishaji wa Maudhui huko Buea, alikuwa akipitia mitandao ya kijamii wakati habari zilipoibuka kuwa rais wa Cameroon, Paul Biya, amefariki. Bila njia yoyote ya uthibitisho, alisubiri mawasiliano rasmi hadi serikali ilipotoa taarifa ya kukanusha uvumi wa kifo cha Rais kama ndoto tu Amboh Vanessalizzy, Mtengenezaji Maudhui asema:Kwa kadiri tunavyotaka mabadiliko, simuombei kifo mtu yeyote. Taarifa potofu kama zile zinazomhusu rais zinaweza kuwa za mara kwa mara, hasa wakati wananchi wa Cameroon wakielekea kwenye uchaguzi mwaka ujao. Batata Boris-Kaloff]], Meneja wa Kituo cha CBS Buea aeleza: "Tayari ninajitayarisha kukabiliana na taarifa potofu za uchaguzi ambazo zinaweza kuja. Uwe na uhakika, huko Buea, kuna wanasiasa na kutakuwa na mijadala kuhusu miradi hapa na pale." Ripoti ya Njodzeka Danhatu wa VOA. #cameroon #waandishi #habaripotofu #chaguzi #ghasia #voaswahili
Waandishi wanamatumaini ya kukabiliana na habari potofu
- 1 May 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang'i is set to make his first public appearance this year in the Gusii region on Friday, May 2, 2025.
- 1 May 2025 - A Grade 2 pupil was on Wednesday evening swept away by floods in Milimani area, Nakuru County, after a heavy downpour led to severe flooding in several parts of the town.
- 1 May 2025 - The family of slain Kasipul Member of Parliament Charles On'gondo Were has shifted blame to the government following his assassination on Wednesday night in Nairobi.
- 1 May 2025 - Prof. Makau Mutua has told off critics who have questioned his appointment as President William Ruto’s Senior Advisor of Constitutional Affairs.
- 1 May 2025 - The MP clarified the remarks he made in Parliament on the BBC Documentary.
- 1 May 2025 - US President Donald Trump said on Wednesday that Tesla boss Elon Musk could stay working for the White House as long as he wanted but understood the tycoon wanted to get back to his businesses.
- 1 May 2025 - India's human rights body said Thursday it was investigating reports more than 100 children fell sick after eating a school lunch served after a dead snake was found in the food.
- 1 May 2025 - Otula also had stints at Mang'u High School and recently at Sunshine Secondary School.
- 1 May 2025 - If the next pope is from sub-Saharan Africa, he would be the first in Catholic Church history. Catholic Africans think it is a long shot, though some are cautiously optimistic that Pope Francis’ successor could be a Black cardinal from their continent.
- 1 May 2025 - The MP abandoned his usual car after developing an instinct that his life was in danger.