- 424 viewsJude Mbaku ni mwanahabari mwingine, na mhariri mkuu wa DMRTV Buea, mkaguzi mkuu wa kuhakiki habari za kweli katika eneo ambalo hapo awali liliathiriwa na habari potofu. Mbaku anasema ameona makundi yanayotumia mitandao ya kijamii kupotosha umma, na matokeo yake ni makubwa. Jude Mbaku wa DMRTV Buea -Mhariri Mkuu anasema: Timu ya Cameroon ilipokwenda Cote d’Ivoire kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, tetesi zilienea kwamba Njie Clinton amejiuzulu kwenye kikosi. Na walioeneza habari hizi walikuwa wapiganaji waliojitenga. Hili halikufanywa kama jambo la makosa. Ilikuwa imeandaliwa vizuri na kutayarishwa vyema ili kupotosha watu. Karloff anasema kuwa waandishi wa habari wa Cameroon wanakabiliwa na changamoto nyingi katika kuripoti kwa usahihi, ikiwa ni pamoja na ufadhili mdogo, hatari za usalama, na upatikanaji mdogo wa habari. Boris-Kaloff Meneja wa kituo cha CBS Buea anatoa maelezo zaidi: "Nchini Cameroon, ni vigumu kupata takwimu na data. Unajua, nimekwenda kwa wajumbe wa kanda wa usafiri kuulizia takwimu za magari yaliyosajiliwa kusini-magharibi, haswa huko Buea, na nikaambiwa niende kusimama barabarani kuanza kuhesabu magari mimi mwenyewe." Ripoti ya Njodzeka Danhatu wa VOA, Buea, Cameroon. #timu #mpira #cameroon #voa #voaswahili #njieclinton #cotedivoire #judembaku #dmrtvbuea #mharirimkuu #voa #voaswahili #habaripotofu
Mhariri wa Kituo cha DMRTV aeleza jinsi habari potofu zilivyo enezwa katika soka
- 1 May 2025 - Prof. Makau Mutua has told off critics who have questioned his appointment as President William Ruto’s Senior Advisor of Constitutional Affairs.
- 1 May 2025 - US President Donald Trump said on Wednesday that Tesla boss Elon Musk could stay working for the White House as long as he wanted but understood the tycoon wanted to get back to his businesses.
- 1 May 2025 - India's human rights body said Thursday it was investigating reports more than 100 children fell sick after eating a school lunch served after a dead snake was found in the food.
- 1 May 2025 - If the next pope is from sub-Saharan Africa, he would be the first in Catholic Church history. Catholic Africans think it is a long shot, though some are cautiously optimistic that Pope Francis’ successor could be a Black cardinal from their continent.
- 1 May 2025 - A confident President William Ruto reiterated that he will not cower from taking the unpopular leadership route to secure development for Kenyans.
- 1 May 2025 - President William Ruto has fulfilled his promise to sponsor 10 vulnerable girls from each of the 17 constituencies in Nairobi County.
- 1 May 2025 - Finance Bill 2025 will support entreprise and productivity in Kenya, President William Ruto has assured.
- 1 May 2025 - Central Organisation of Trade Unions (COTU) Secretary General Francis Atwoli has called on the government to remodel the tax deductions architecture to favour Kenyan workers.
- 1 May 2025 - MP Charles Ong’ondo Were becomes the latest politician to be tragically gunned down.
- 1 May 2025 - Nine officers sustained injuries in the fight against crime in various parts of the country.