- 3,061 views
Wakazi wanaoishi katika kipande cha ardhi walichopewa na kampuni ya Saruji ya EAPC huko Mavoko kaunti ya Machakos wameiomba serikali kuwatetea baada ya watu wengine kuvamia vipande vyao vya ardhi na kuanza kuchimba mitaro kwa ujenzi wa ukuta wa ua. Wakazi hao wanashangaa ni kwa nini hilo linatendeka ilhali walisajili ardhi zao katika zoezi lililokamilka hivi majuzi na benki ya KCB la urasimishaji mashamba . Cha kushangaza ni kwamba anayevamia mashamba yao amewekewa ulinzi mkali na maafisa wa polisi .
Waliouziwa ardhi ya Mavoko na kampuni ya saruji EAPC walalamika
- 9 Jun 2025 - Hired for a modest fee, they were entrusted with a grim assignment: to exhume bodies from mass graves buried deep within the Shakahola Forest.
- 9 Jun 2025 - Two weeks ago, their lives changed forever with the arrival of three healthy babies—two boys and a girl. But while the birth brought immense joy, it also ushered in a host of challenges that most parents might never face.
- 9 Jun 2025 - Speaking during an Economic Empowerment Forum in Thika Town Constituency, the leaders condemned what they described as dangerous rhetoric from opposition figures, particularly those allied with former Deputy President Rigathi Gachagua.
- 9 Jun 2025 - This latest opposition stance follows a strong objection by the Central Organization of Trade Unions (COTU), which was the first major institution to oppose the proposed amendments that would expand the levy’s mandate.
- 9 Jun 2025 - The sugar trap: How diet and fasting could reverse Type 2 diabetes
- 9 Jun 2025 - Gachagua, Kalonzo slam Kilifi nuclear plan, say tourism at risk
- 9 Jun 2025 - Senators raise alarm over theft of research land
- 9 Jun 2025 - Varsity stuck in succession limbo amid political, internal wrangles
- 8 Jun 2025 - The shallow quake struck near the city of Paratebueno in central Colombia, some 170 kilometers (105 miles) east of Bogota, the USGS said.
- 8 Jun 2025 - Voi-based teacher and social media influencer died in police custody just hours after his arrest.