- 3,346 views
MATOKEO YA MTIHANI WA KCSE 2024
Baraza la kitaifa la mitihani nchini limetangaza matokeo ya mtihani wa KCSE mwaka 2024 yaliyoonyesha kuimarika kwa matokeo ya watahiniwa ikilinganishwa na mwaka 2023. Kwenye matokeo hayo jumla ya watahiniwa 1,693 walipata alama ya A hili likiwa ongezeko la watahiniwa 477 ikilinganishwa na mwaka 2023 huku watahiniwa 246,391 wakifuzu kujiunga na chuo kikuu bada ya kupata alama ya C+ na zaidi. Kadhalika wizara ya elimu imetangaza kuanzishwa kwa mtihani wa kitaifa wa KCSE wa katikati ya mwaka utakaoandaliwa mwezi Julai ili kuwashughulikia wanafunzi wanaokabiliwa na chamgamoto kufanya mtihani wa mwisho wa mwaka. Mwanahabari wetu Joseph Wakhungu anatuarifu zaidi kuhusu matokeo ya mtihani wa KCSE wa mwaka 2024.
#Darubini
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Waziri wa elimu atangaza matokeo ya KCSE 2024
- 17 Aug 2025 - A 26-year-old man believed to be behind a string of robberies in Rweno and Kiambaa areas in Kiambu County has been arrested.
- 17 Aug 2025 - Rescuers struggled to retrieve bodies from muddy debris on Saturday after flash floods triggered by heavy monsoon rains across northern Pakistan killed at least 344 people in the past 48 hours, authorities said.
- 17 Aug 2025 - First, deeply religious Saudi Arabia opened its doors to Western raves and music festivals. Now it's turning to long-neglected Saudi traditions as it seeks to draw tourists and reshape its national identity.
- 17 Aug 2025 - Gaza residents will be provided with tents and other shelter equipment starting from Sunday ahead of relocating them from combat zones to the south of the enclave "to ensure their safety," the Israeli military said on Saturday.
- 17 Aug 2025 - Hundreds of thousands of Libyans are voting Saturday in the second phase of municipal elections, held under tight security after incidents and irregularities forced delays at several stations.
- 17 Aug 2025 - Duale's statements have triggered a wave of controversy with leaders trading words.
- 17 Aug 2025 - Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
- 17 Aug 2025 - The scheme ran for several years.
- 17 Aug 2025 - Tanzania and Madagascar sail through as Group B concludes
- 17 Aug 2025 - Why President Ruto should lead the fight against graft by example