Russia ndani ya Afrika, Lavrov atua Uganda leo
Waziri mkuu wa Russia Sergey Lavrov amesisitiza kwamba Russia haihusiki kwa vyovyote vile na ongezeko la bei za bidhaa muhimu kote duniani, na kwamba taarifa hizo zinaenezwa na nchi za magharibi ili kueneza chuki dhidi yake. Amesema hayo akiwa Kampala, Uganda katika ziara yake ya nchi nne za Afrika.
Lakini balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Marekani Stavros Lambrinidis, amepuuza ziara ya Lavrov Afrika akisema kwamba ni ya kueneza uongo.
#####
Maandamano makali yakupinga uwepo wa MONUSCO imeendelea kwa siku ya pili huko Goma na Butembo vile vile kanyabayonga Kivu kasakazini. Waandamanaji wakiomba MONUSCO kuondoka.
#####
Wimbi la joto kali linaloendelea kukumba nchi za Ulaya hadi hivi sasa limesababisha vifo vya karibu watu 1 700 nchini Hispania na Ureno, wakati moto mkubwa unaendelea kuteketeza misitu ya bara hilo. Nchi za Ulaya zinashuhudia kipindi kirefu cha joto kali kuwahi kutokea wakati wa msimu huu ya kiangazi na kusababisha joto kufika viwango vya juu kabisa.
28 Apr 2024
- Citizen TV is reeling from having hemorrhaged top talent to both the State and other media houses.
28 Apr 2024
- The concession was to take effect and remain in force for 25 years for the freight services and 5 years for the passenger services.
28 Apr 2024
- School reopening kicks off tomorrow as floods continue to pound towns across the country.
28 Apr 2024
- Transport Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has urged road users to exercise immense caution on the roads amid the heavy rains pounding most parts of the country.
28 Apr 2024
- Speaking at a fundraiser in Central Imenti, Meru on Sunday, he urged attendees to pray for him, saying, "I humbly request your prayers." I am not one to be troubled or intimidated..."
28 Apr 2024
- In a report made at the Likoni Ferry Police Station, police say during the altercation, a private security officer by the name Wilson Obege was injured.
28 Apr 2024
- Blinken will meet Monday with leaders of Gulf Arab states including Qatar, which along with Egypt has been mediating a plan to halt the Gaza war and release hostages, with Hamas promising a response on Monday.
28 Apr 2024
- The investigation, initially focused on charges of attempted indecent assault, escalated when Holmes, working as a cook at Kulture restaurant in downtown Houston, was reported by a manager for his lewd actions captured on video.
28 Apr 2024
- The incident occurred while the student, along with two others, was swimming, only to be swept away by powerful currents and submerged.
28 Apr 2024
- The Kenya Red Cross Society on Sunday mid-morning evacuated eight people to safety as floods continue to wreak havoc in Garissa County.
28 Apr 2024
- Citizen TV is reeling from having hemorrhaged top talent to both the State and other media houses.
28 Apr 2024
- Burkina Faso is investigating killings in two northern villages in February, a government spokesperson said on Saturday, dismissing a Human Rights Watch (HRW) report about the Burkinabe army's alleged execution of 223 people there.
28 Apr 2024
- Deputy President Rigathi Gachagua has announced that the government has set aside Ksh.1 billion to support affected families in the Arid and Semi-Arid Land (ASAL) regions as floods continue to wreak havoc in the nation.